Wednesday, September 14, 2016

VIDONGE HATARI

Epukana na vidonge hivi ni hatari sanaa:-
  • D-baridi
  • Vicks Action-500
  • Actified
  • Coldarin
  • Cosome
  • Nice
  • Nimulid
  • Cetrizet-D
      • Hivi vidonge vina Phenyl propanol-amide PPA ambayo husababisha stroke na ni marufuku Marekani. 
      • Maonyo muhimu ya afya
      1. Jibu (pokea) simu wito na sikio la kushoto
      2. Usinywe dawa zako zozote kwa maji baridii
      3. Usile milo mizito baada ya saa 11 jioni
      4. Kunywa maji vugu vugu mengi asubuhi na kwa kiasi usiku.Usinywe maji baridi kamwe
      5. Muda bora wa kulala ni kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 10 alfajiri.
      6. Usilale mapema baada ya kumeza dawa au baada ya mlo.Usiku kula chakula laini.
      7. Usipokee simu yako ikiwa haina chaji au ikiwa inachajiwa kwa kuwa wakati huo miyonzi inakuwa na nguvu mara 1000 ya kawaida yake.

No comments:

Post a Comment

KWA MSAADA ZAIDI NITAFUTE KWA SIMU NAMBA.. 0716784460