HABARIKA NA EREVUKA ZAIDI ..
Monday, September 26, 2016
UMUHIMU WA NYUKI
Kama nyuki wakipotea duniani basi binadamu watabakiwa na miaka minne tuu ya kuishi..asema mwanasayansi "ALBERT EINSTEIN".
UTUMISHI HEWA
Serikali kutumia mfumo wa kielektroniki kuhakiki watumishi wa serikali nchi nzima kwa siku 14 ili kuondoa watumishi hewa na wenye utambulisho danganyifu >>>Zoezi litajumuisha kuchukua alama za vidole na vyeti vya elimu ..
Newer Posts
Older Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)