Monday, September 26, 2016

UMUHIMU WA NYUKI

Kama nyuki wakipotea duniani basi binadamu watabakiwa na miaka minne tuu ya kuishi..asema mwanasayansi "ALBERT EINSTEIN".

UTUMISHI HEWA

Serikali kutumia mfumo wa kielektroniki kuhakiki watumishi wa serikali nchi nzima kwa siku 14 ili kuondoa watumishi hewa na wenye utambulisho danganyifu >>>Zoezi litajumuisha kuchukua alama za vidole na vyeti vya elimu ..