Wednesday, September 14, 2016

UHALISIA WA ASALI

KUPIMA UHALISIA WA ASALI KWA KUTUMIA SAHANI/KISOSI CHENYE MAJI
Wadau ili kupata faida za ASALI  kwa afya zetu ni muhimu kutumia ASALI HALISI.

Ni muhimu kujua jinsi ya kutambua ASALI HALISI, leo utaona njia rahisi sanaa ya kutambua
 Fuata mtiririko huu :-
  1. Chukua sahani au kisosi chenye rangi nyeupe(ili uweze kuona kwa urahisi)
  2.  Weka maji kwenye kisosi au sahani yako
  3.  Dondoshea asali katikati ya kisosi au sahani yako
  4.  ASALI HALISI itatulia kwenye kisosi na pia hata ukitingisha kisosi au sahani basi asali haitachanganyika na maji




No comments:

Post a Comment

KWA MSAADA ZAIDI NITAFUTE KWA SIMU NAMBA.. 0716784460