Wednesday, September 14, 2016

BUNGENI DODOMA

 Naibu waziri wa TAMISEMI Selemani Jaffo asema wahitimu shahada za sayansi ambao si walimu kupatiwa mafunzo maalum wakafundishe na wale wa sanaa ambao hawajapata nafasi sekondari watafundisha shule za msingi.

No comments:

Post a Comment

KWA MSAADA ZAIDI NITAFUTE KWA SIMU NAMBA.. 0716784460