Arsenal ndio timu pekee nchini uingereza iliyotoa Jukwaa Maalumu kwa ajili ya Mashoga. Wapo apo jukwaani kisheria na jina lao wanaitwa GAY GOONERS kama unavyoona kwenye iyo picha apo chini wakiwa uwanjani kwao Emirates kwenye jukwaa lao maalumu wakitazama timu yao.
No comments:
Post a Comment
KWA MSAADA ZAIDI NITAFUTE KWA SIMU NAMBA.. 0716784460