Wednesday, September 14, 2016

JUKWAA LA MASHOGA TIMU ZA EPL

Arsenal ndio timu pekee nchini uingereza iliyotoa Jukwaa Maalumu kwa ajili ya Mashoga. Wapo apo jukwaani kisheria na jina lao wanaitwa GAY GOONERS kama unavyoona kwenye iyo picha apo chini wakiwa uwanjani kwao Emirates kwenye jukwaa lao maalumu wakitazama timu yao.


No comments:

Post a Comment

KWA MSAADA ZAIDI NITAFUTE KWA SIMU NAMBA.. 0716784460