Wednesday, November 16, 2016

ORODHA YA WADAIWA SUGU WA MIKOPO VYUO VIKUU HII HAPA

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inatangaza orodha ya majina ya Wadaiwa Sugu ambao wamehitimu katika Vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu kuanzia mwaka wa masomo 1994/1995. Wasugu hao wanapewa siku 30 kulipa madeni yao ndani ya muda huo kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa na wahusika kulazimika kulipia gharama za kuwasaka na kuendesha kesi.
Kwa mawasiliano zaidi piga 0763 459 165 au 0767 513 208 au tembelea ofisi zetu za Makao Makuu, Dar es salaam au ofisi zetu za kanda zilizopo Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Arusha.
Kuona orodha hiyo tembelea
http://olas.heslb.go.tz/index.php/defaulters

No comments:

Post a Comment

KWA MSAADA ZAIDI NITAFUTE KWA SIMU NAMBA.. 0716784460