Wizara ya elimu imefafanua kuwa wametoa mikopo kulingana na vigezo vya wanafunzi na pia sio wote wenye vigezo watapata kwa kuwa bajeti ina ukomo.
Naibu waziri amesema wanafunzi wengi walikuwa wanapata mikopo pasipo na vigezo na walikuwa wakitumia mikopo kufanyia mambo mengine kama kunywa pombe kununulia tv na kutembea ambavyo sio kusudio la mikopo hiyo.
No comments:
Post a Comment
KWA MSAADA ZAIDI NITAFUTE KWA SIMU NAMBA.. 0716784460
No comments:
Post a Comment
KWA MSAADA ZAIDI NITAFUTE KWA SIMU NAMBA.. 0716784460