Saturday, October 29, 2016

UJAZAJI WA DODOSO ZA MKOPO KWA WANAOENDELEA NA MASOMO

BODI YA MIKOPO - UJAZAJI WA DODOSO NDANI YA SIKU 30 - WANUFAIKA WA MIKOPO ELIMU YA JUU (KWA WANAFUNZI WANAOENDELEA)

KWA WANAFUNZI WOTE WALIOPO VYUONI
Wanafunzi wanufaika wa mkopo elimu ya juu..."hasa wale wanaoendelea na masomo",kuanzia jumatatu ijayo,tarehe 31/10/2016 kila mnufaika anapaswa kuingia kwenye akaunti yake binafsi ya HESLB ili ajaze DODOSO lililoboreshwa zaidi kwa lengo la kuwa na taarifa sahihi zaidi zinazoweza kuwa VERIFIED na vyombo vya serikali kuhusu hali ya kifedha ya mnufaika.

Baada ya dodoso hilo kujazwa, litahakikiwa na ikibainika taarifa ulizotoa ni za uongo basi mnufaika ATAPOTEZA SIFA ya kupata mkopo wake. 
Pia, kwa yoyote ambaye hatajaza DODOSO hilo pia naye ATAPOTEZA sifa ya kuwa mnufaika. Kwa hiyo ni zoezi la VERIFICATION ya taarifa za kifedha za mnufaika. Muda ukifika Dodoso hilo  litajieleza.
Hivyo,  from next Monday every beneficiary has to log into his/her account. Ni zoezi la muda wa mwezi mmoja tu na litaisha  mwezi Novemba hivyo kila mtu afanye hima kujaza dodoso hilo jipya.

Pia unatakiwa kuendelea kuhakiki majina yenu  (Kuna ya mwaka wa kwanza na wanaoendele). ili kujua kama upo chuo kihalali (kwa sifa na vigezo) au la. Zoezi hilo limeanza tayari. - hii ni kwa wanafunzi wote

No comments:

Post a Comment

KWA MSAADA ZAIDI NITAFUTE KWA SIMU NAMBA.. 0716784460