Kenya imekuwa nchi ya kwanza kufanya upasuaji wa kwanza wa kuungana kwa watoto kufanikiwa miongoni mwa nchi za kusini mwa jangwa la sahara kuweza kuwafanyia upasuaji watoto wawili waliozaliwa mwaka 2014 ambao walikuwa wameunga sehemu ya chini ya uti wa mgongo kwa muda wa miaka miwili. Watoto hao walikuwa na viungo vyote sawa isipokuwa sehemu ya kujisaidia haja kubwa ndio walikuwa wakichangia moja kutokana na tatizo ilo la kuungana.
No comments:
Post a Comment
KWA MSAADA ZAIDI NITAFUTE KWA SIMU NAMBA.. 0716784460